Friday, August 29, 2014

uzuri wooote....kilichonitimua ni harufu mbaya ikulu...


Washkaji wote chuo walikuwa wanamtolea macho huyu dada,alikuwa ni mzuri sana,yaani kwa ukubwa na shape ya makalio yake alibandikwa jina la ''MARKING SCHEME''..yaani makalio yake yanasahihisha makalio yote ya madem wa chuo,niliimpata kirahisi..
Hata nisiseme nilimpata,alinipata kirahisi sababu sikumtongoza,alijileta mwenyewe na kwa kasi ya hatari mpaka nikastuka,siku zikaenda ikafika day ndo gem inapigwa sasa,lita nini sana tu,sasa ile naanza piga issue,mazee..hiyo harufu!nlijikausha nkapiga kimoja lakini harufu mikononi iliisha after two days,nikaanza mpotezea na hata ham naye ikaisha,wadau wakaanza sema nimetoswa...ilhali nlichokutana nacho nakijua mwenyewe kweli vingine vione kwa nje tu,huko ndani ni balaaa!

0 comments:

Post a Comment