Hii ni harusi iliyowashutua watu wengi duniani na inaweza kuingia kwenye rekodi kubwa sana, harusi hiyo ilifanyika huko South Africa. Kati ya mtoto Sanele Masilela mwenye umri wa miaka 8 na Helen Shabangu mmama mwenye umri wa miaka 61 kufunga ndoa ya maisha, duuh!! hivi ni kweli jamani au ndiyo geresha tu, kwa huyo dogo.
Thursday, August 28, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment