Friday, August 29, 2014

HOTEL YA KIFARI YATEKETEA KWA MOTO JIJI MBEYA...SOMA ZAIDI.....


Huu ndio mwonekanowa hoteli hii kwa mbele.

Hapa ni upande wa nyuma wa hoteli hii, ambapo ndipo moto ulipo anzia kuiunguza hotel hii.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio ilo,wakiwa kwenye eneo la tukio.

Chanzo cha moto huu hakijaweza kufahamika kwa haraka, ila endelea kuwa nasi tutakujuza habari zote kadri ya uwezo wetu.

0 comments:

Post a Comment