Sunday, August 31, 2014

HAWA NDIO WANAWAKE WAZURI SANA NCHINI KENYA.

Kutokana na Uchunguzi uliofanywana mtandao mmoja huko Kenya, umeeleza kuwa Kenya ni moja ya nchi yenye wanawake wazuri sana waliojaliwa, tena baadhi yao ni wafanyakazi katika Vyombo vya habari.



Sasa hapa tunapozungumzia madem ambao wameumbika katika hidara zote ndani na nje huko kenya ni lazima uwataje Madem hawa ambao kila kukicha wamekuwa wakizungumziwa katika vyombo mbalimbali vya habari na kufuatiliwa kwa karibu sana. kutokana tu na Uzuri walionao.

Kwa mujibu wa misemo mingi ya watu wengi kwamba Mwanamke akishazaa ama kupata mtoto, kitu ambacho kinatokea ni kwamba mwanamke hupoteza uzuri na uhalisia wa umbo lake la kawaida. sasa hawa nitakaowataja hapa  ni tayari wameshazaa lakini cha kushangaza ni kuwa Bado maumbo yao yanaongezeka mvuto kila siku!! Kati ya wasichana hao ni pamoja na.

1. Sheila Mwanyigah
\
This lady has been holding it down since the days Before Ghafla and she's still got it like an 8 month pregnant lass!

2. Corazon




3. Avril
Pity she has a taste for South African cooking! That figure? Heh! It makes sense. No questions asked! And if there are any, the answer is Avril's figure! Who is the hottest singer? Avril's figure! Who did God's Chosen Blogger turn to for inspiration? Avril's figure.


5. Grace Msalame


6. Vera Sidika


7. Mumbi Maina


0 comments:

Post a Comment