This is default featured slide 1 title

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA...soma full story hapa

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, August 31, 2014

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....korodani za beberu zipo kwa ajili yako Bofya hapa ukutane na JIKO


Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
 Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara. 
Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata iweje. Kulegea kwa mishipa ya kiume kunasababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu. Mtu anaye piga punyeto anakuwa anaiminya mishipa inayo sababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na hivyo linapo kuja suala la kusimamisha uume, mwanaume huyu anakuwa hana uwezo tena wa kusimamisha uume wake.

Vilevile matumizi ya madawa makali (hususani madawa ya kizungu) ya kuongeza nguvu za kiume, husababisha mishipa ya uume kulegea. Hii ni kwa sababu madawa haya hui-overdose mishipa hiyo na kuilazimisha kufanya kazi zaidi ya kiwango chake.

Matumizi haya yanapokuwa ya muda mrefu humfanya muhusika kuwa tegemezi na pia hufanya mishipa ya uume wa muhusika kulegea na kukosa nguvu.

2. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Hapa mwanaume anakuwa hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake. Tatizo hili kwa kiasi kikubwa husababishwa na msongo wa mawazo.

3. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.

4. Kufika kileleni mapema

5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa. Na wakati mwingine, hali hii hutokea pindi vyanzo zaidi ya kimoja vya tatizo la kiume vinapo kuwa vimejitokeza kwa mtu mmoja.

6. Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.

Tajwa hapo juu ni dalili kuu za tatizo la ukosefu ama/na upungufu wa nguvu za kiume.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

ATHARI ZA UPUNGUFU / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-

    Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
    Kuvunjika kwa ndoa.
    Kujiua: Baadhi ya wanaume hufikia uamuzi wa kujiua baada ya tatizo kuwa kubwa na kutumia dawa za aina mbalimbali bila mafanikio.
    Upungufu wa nguvu za kiume huongeza chachu ya maambukizi ya V.V.U kwa wanandoa: Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linapokuwa sugu, hupelekea rafiki wa kike/ mke wa mwanaume anaye sumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, kutoka nje ya ndoa kwa ajili ya kutimiziwa haja zake za kimwili, mwisho wa siku mwanamke huyo huweza kumletea magonjwa mume wake mwenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume pindi wanapokutana kimwili katika hali hiyo hiyo ya kutoridhishana.
    Ulevi kupita kiasi; Wakati mwingine wanaume wanao sumbuliwa na tatizo hili, huamua kuwa walevi kupita kiasi ili angalau kupunguza mawazo.

Kwa ufupi ukosefu/ upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana ambalo endapo halitatafutiwa ufumbuzi na muhusika linaweza kuyaathiri maisha ya muhusika kwa kiasi kikubwa sana.

TIBA ASILIA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Zipo dawa mbalimbali asilia zinazo weza kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume. Kati ya tiba hizo, tiba ya dawa asilia ya nguvu za kiume iitwayo “JIKO” imethibitika kuwa na uwezo wa kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume kwa zaidi ya ASILIMIA MIA MOJA (100%)

KUHUSU DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO ni dawa ya a ilia (herbal) inayo tumika kutibu na kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume pamoja na visababishi vya tatizo hii. Dawa hii haimalizi tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume pekee, bali pia inatibu visababishi ama vyanzo vyote vya tatizo la nguvu za kiume pamoja na side effects zitokanazo na baadhi ya visababishi vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kama vile kujichua kwa muda mrefu.

Dawa hii ni mitishamba kabisa “pure herbal” ambayo haijachanganywa na kemikali yoyote na haina “side effects” kwa mtumiaji.

Dawa hii hutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini (30).

MFUMO WA DAWA: Dawa ya JIKO ipo katika mfumo wa mizizi.

MATUMIZI YA DAWA: Dawa hii hutumika kwa kuchemshwa na kisha kunywa juisi yake mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku thelathini.

DOZI YA DAWA YA JIKO: Dozi ya dawa ya JIKO hutumika pamoja na vitu vikuu vitatu :

i. Korodani za beberu.
ii. Korodani za jogoo aliyekomaa.
iii. Unga wa Habbat Sawdah au Unga wa Mjafari au Unga wa Ngano (hapa kama utakosa unga wa Habbat Sawdah ama Unga wa Mjafari unaweza ukatumia unga wa ngano kama mbadala wake).
iv. Karanga mbichi.

MATAYARISHO NA MATUMIZI YA DOZI YA DAWA YA JIKO

i. Dawa ya jiko yenyewe
Chukua dawa yako ya JIKO kisha iweke kwenye sufuria halafu ongeza lita mbili za maji halafu chemsha hadi dawa yako itakapo anza kutokota na kutoa supu. Ipua dawa yako na uihifadhi kwenye chupa ya chai (thermos ). Tumia kunywa vikombe viwili vya dawa yako mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni. Utakunywa dawa yako ikiwa ya moto na sio ikiwa ya baridi. Kama itaingiwa na ubaridi kwa sababu moja au nyingine, unatakiwa kuipasha moto. Utafanya hivyo kwa muda wa siku thelathini.

N.B : JUISI YAKO IKIISHA, UTACHEMSHA KIASI KINGINE CHA DAWA NA KUFANYA KAMA HAPO JUU HADI ZITIMIE SIKU THELATHINI

ii. KORODANI ZA MBUZI

Chukua korodani mbili za mbuzi. Zitie ndani ya lita mbili za maji na uchemshe kutengeneza supu . Supu yako ikiisha iva utatumia kula supu yako mara mbili kwa siku asubuhi na jioni. Hapa asubuhi utakula supu yako na kipande kimoja cha korodani na jioni utamaliza supu yako na kipande kingine cha korodani. Unaweza kuweka na pilipili mbuzi kwa ajili ya kuongeza ladha.

Utafanya hivi mara moja kwa wiki kwa wiki nne. Yaani utakula supu mara moja kwa wiki ya kwanza, wiki ya pili utakula supu yako tena, wiki ya tatu utakula supu yako na wiki ya nne utamalizia dozi yako.

HATA HIVYO KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNAWEZA KULA SUPU YAKO YA KORODANI ZA MBUZI KWA MUDA WA SIKU ZOTE THELATHINI ZA DOZI. UKIFANYA HIVI MATOKEA YATAKUWA MARADUFU ZAIDI.

VILEVILE HATA BAADA YA KUMALIZA DOZI YAKO UNAWEZA KUWA UNAKULA SUPU YA KORODANI ZA MBUZI KILA UTAKAPO PATA NAFASI YA KUFANYA HIVYO.

iii. KORODANI ZA JOGOO

Unatakiwa kumeza korodani za Jogoo aliyekomaa zikiwa mbichi. Utameza nzima nzima zikiwa mbichi. Utazimeza pamoja na maji ya moto.

MATAYARISHO

Unatakiwa uwe na vitu vifuatavyo :
i. Jogoo aliyekomaa pamoja na kisu kikali ama mchinjaji wa jogoo.
ii. Unga wa Habbat Sawdah au
iii. Unga wa Mjafari au
iv. Unga wa Ngano.
v. Kisosi au ki-plate.
vi. Glasi mbili za maji ya uvuguvugu.

JINSI YA KUFANYA Chinja jogoo wako kisha mpasue kunyofoa korodani zake. Baada ya kupata korodani za jogoo, ziweke kwenye kisosi au kiplate chenye unga wa habbat sawdah au unga wa mjafari au unga wa ngano kisha viringisha korodani hizo za jogoo kwenye unga huo halafu meza korodani moja baada ya nyingine kwa glasi moja ya maji ya uvuguvugu.

Utafanya hivi mara moja ndani ya hizo siku thelathini za dozi. Unaweza kufanya siku ya kwanza tangu uanze dozi yako au unaweza kufanya katikati ya dozi au hata wakati unamaliza dozi.

N.B: KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNASHAURIWA KUMEZA KORODANI ZA JOGOO KWA WINGI KADRI UTAKAVYO WEZA. UTAPATA MATOKEO BORA ZAIDI. KORODANI ZA JOGOO PAMOJA NA DAWA YA JIKO ZITAKUSAIDIA KUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO BILA KUCHOKA NA KUKAA KIFUANI KWA MUDA MREFU ZAIDI.

VYAKULA VYA KUTUMIA i. Unashauriwa kutumia kilo moja ya karanga mbichi kila wiki kwa muda wa wiki zote nne za dozi yako. Hii ina maana kuwa kwa wiki zote nne utatakiwa kutafuna kilo nne za karanga mbichi.

N.B : KAMA UTAWEZA KUTUMIA ZAIDI YA KIWANGO HICHO HAPO JUU, LITAKUWA NI JAMBO BORA ZAIDI

ii. Vile vile unatakiwa kula tikiti maji moja kwa wiki kwa muda wa wiki nne za dozi. Yaani wiki ya kwanza ule tikiti moja. Wiki ya pili tikiti moja. Wiki ya Tatu tikiti moja na wiki ya nne tikiti moja, jumla matikiti manne kwa mwezi. UNATAKIWA KUTAFUNA PAMOJA NA MBEGU ZAKE.

KAZI INAYOFANYWA NA DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO inasadia katika mambo makuu yafuatayo:

i. Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
ii. Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume.
iii. Husaidia kuongeza msukumo (pressure) wa damu kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kuwa na nguvu za ajabu.
iv. Husaidia ku-relax mind na hivyo kumfanya mtu awe na uwezo wa kuconcentrate wakati wa tendo la ndoa bila kuathiriwa na msongo wa mawazo.
v. Humfanya mwanaume awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila kuchoka.
vi. Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
vii. Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.
viii. Husaidia kutibu side effects za punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za (za kizungu) za kuongeza nguvu za kiume.
ix. Husaidia kutibu chango la kiume.
x. Dawa hii huwasaidia hata wanawake wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.


BEI   YA  DAWA : BEI  YA   DAWA   HII NI SHILINGI  ELFU THEMANINI  TU.( Tshs.80,000/=)
  

JINSI YA KUIPATA DAWA 
Unaweza kuja kuichukua ofisini kwetu au kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunatoa huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo.

DELIVERY 
WATEJA WA MIKOANI : Kwa wateja wa mikoani tunawatumia dawa kwa njia ya magari na wale wa Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya meli.

WATEJA WA NCHI JIRANI : Kenya, Uganda, Rwanda & Burundi tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi.

Kwa wateja wa nje ya Afrika : Kwa wateja wa nje ya Afrika tunawatumia dawa kwa njia ya posta au DHL.

Wateja wa SOUTH AFRIKA NA BOTSWANA

Kwa wateja wetu waliopo South Afrika na Botswana tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi au posta

ALICHOSEMA DIAMOND BAADA YA KUNUSURIKA KICHAPO KUTOKA KWA MASHABIKI HUKO UJERUMANI,POLISI WAMWOKOA,....

Sehemu ya ukumbi ulioharibiwa vibaya na washabiki mjini stuttgart,ujerumani

UJERUMANI SI SHWARI KIMENUKA !!
POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA WASHABIKI WENYE HASIRA ! KASHINDWA KUWIKA STUTTGART KISA ?
KAFIKA UKUMBINI SAA 10 ALFAJIRI ! WASHABIKI WANASUBIRI SHOW TANGU SAA 4 USIKU
PROMOTA MNAIJERIA AINGIA MITINI ,DJ APATA KISAGO ETI VYOMBO VIBOVU ! AIBU
Stuttgart,Ujerumani,Usiku wa Jumamosi ya Tarehe  30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri Mwanamuziki nyota wa Bongo Flaver  Nasib Abdul aka Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini Stuttgart,ujerumani,baada ya washabiki waliokuwa na hasira kuchoka kusubiri show,washabiki hao waliokuwa wamelipa ticket euro 25 kwa kiingilio waliahidiwa kuwa show ingeanza saa 4.00 usiku,lakini walijikuta wakisubiri hadi majira ya saa10 usiku au alfajiri ndipo mwanamuziki Diamond alipoletwa jukwaani na promota wake raia wa Nigeria anajiita kama Britts Event.

Hapo ndipo washabiki walipoona kuwa hawakutendewa haki walianza kurusha chupa na kutaka kumvamia mwanamuziki  Diamond na promota wake,Kilichowakera zaidi washabiki ni pamoja na vyombo vibovu vilivyofungwa katika ukumbi huo kitu ambacho kiliwafanya washabiki kuvunja hadi vyombo vya muziki ma-Djs walishambuliwa na wapo Hosptalini kwa sasa.

Mmoja wa Djs hao alipoteza Lap top yake ,mwanadada DJ  Flor alipatwa shock mshtuko wa moyo na kukimbizwa hosptali, washabiki hao walimpa kipigo  DJ Drazee naye yupo hoi hospatal. 

Polisi nchini ujerumani wanamesema tukio hili la aibu halijawahi kutokea,kuwa msanii kuchelewa kufika jukwaani kwa ujerumani ni kitu cha hatari kwani washabiki wa ujerumani wanaheshimu sana muda wao.

mpaka sasa polisi wanamsaka mwandaaji wa onyesho hilo na wamesema kuwa wanachunguza thamani ya hasara hiliyosababishwa na ghasia hizo na pia itamfungulia mashataka promoter huyo raia wa Nigeria,ambaye pia anachunguzwa kwa kusemekana anajihusisha na mtandao fulani wa biashara.


KAJALA KUMWAJIRI WEMA......asema haniwezi kwa mkwanja hata chembe....


AMA kweli fedha mwanaharamu! Kama bado ulikuwa ukiamini kwamba Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu anayependelea kuitwa Madam ana mtonyo (fedha) kumzidi aliyekuwa shosti wake, mwigizaji Kajala Masanja ‘Kay’, umekosea sana kwani upepo umegeuka, ungana na Ijumaa Wikienda.
Habari za ‘ufukunyuku’ zinadai kwamba, kwa utajiri alionao kwa sasa, Kajala anaweza kudiriki kumwajiri Wema kama kisemavyo chanzo.

Mwigizaji wa filamu Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’.

TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho karibu na wote kwa maana ya kutafuna pande zote, mwigizaji huyo ambaye enzi za ushosti wake na Wema alikuwa akionekana kama kijakazi, sasa fedha imemtembelea kiasi cha kutosha wakati mwenzake kwa bahati mbaya eti ‘anatembelea ringi’.
Chanzo kilisema kwamba Kajala kwa sasa ana maisha ya ‘kitonga’, amepanga kwenye nyumba nzuri ya ghorofa, ana kampuni yake ya filamu (KAY Entertainment), magari manne, anatembea na wapambe (walinzi) huku akaunti yake benki ikiwa imetuna.

“Kajala ameonesha jeuri ya fedha. Ametoka katika nyumba ya kawaida sasa analala angani. Kwa taarifa yenu amepanga ghorofa nzima maeneo ya Sinza-Madukani jijini Dar.
“Yupo vizuri, anamiliki ofisi kubwa ya kuzalisha sinema, magari mawili ya ofisi pamoja na magari mawili ya kutembelea (Brevis na Harrier) na anaishi katika nyumba anayolipa kodi kwa mwezi dola 2,000 (zaidi ya Sh. milioni 3.2),” kilidai chanzo hicho na kudai kwamba si mbaya Kajala akamkumbuka mwenzake hata kwa kumwajiri kwenye kampuni yake.


Pichani ni mjengo ambao Kajala Masanja amepanga.

KAJALA AMEHONGWA?
Akizungumza na waandishi wetu, Kajala alisema anamshukuru Mungu kwani fedha hizo amezizalisha kupitia kazi zake pamoja na biashara mbalimbali alizokuwa akizifanya, hajahongwa na mtu yeyote.
“Sijahongwa na mtu yeyote, kila mtu ana akili zake katika kutafuta fedha, nafanya biashara huku nikiigiza sinema zangu na Mungu amenijalia mambo yanakwenda vizuri,” alisema Kajala.
Kuhusu kumwajiri staa mwezake huyo, Kajala hakutaka kulizungumzia hilo.

WEMA HALI IPOJE?
Utafiti uliofanywa na Ijumaa Wikienda umebaini kwamba Wema aliyemlipia Kajala Sh. milioni 13 asiende jela mwaka jana, ambaye kipindi kifupi kilichopita alikuwa na kampuni ya kuzalisha sinema, wapambe, akaunti iliyonona benki, magari ya kifahari ya kutembelea na samani nyingine, nyingi zimepotea kama si kuyeyuka kabisa.

Gari la aina ya Toyota Brevis inayomilikiwa na Kajala.

Utafiti umeonesha Wema ambaye alikuwa akimiliki magari kadhaa likiwemo la kufanyia kazi za sinema, kwa sasa amebakiwa na gari moja tu ambalo ni Toyota Harrier.
Kama hiyo haitoshi, ilidaiwa kuwa hata akaunti benki haijanona na hata wapambe wa kutembea naye wameyeyuka.

WEMA ATAFUTWA
Ili kutaka kujua anazungumziaje ‘challenge’ hiyo ya kudaiwa kuporomoka kiuchumi, wanahabari wetu walimtafuta Wema kwa siku tatu mfululizo lakini hakupatikana huku simu yake ikiita muda mrefu bila kupokelewa.

SHOSTI WAKE
Akizungumza na waandishi wetu kwa sharti la kutoanika jina gazetini, rafiki wa karibu wa Wema alikiri kuwa staa huyo mwenye nyota isiyochuja, ameshuka kiuchumi tofauti na enzi zile ambazo walikuwa wakitanua katika viunga mbalimbali na msururu wa watu huku Madam akisimamia shoo nzima ya malipo.

“Madam kwa sasa ameshuka kiuchumi kwani hatutanui mjini kama ilivyokuwa zamani, yaani naamini anaweza kuajiriwa na Kajala ambaye wakati ule alikuwa chini kwake,” alisema rafiki huyo.



Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akitafakari jambo.

KUMBUKUMBU YA JUZIKATI
Hivi karibuni, baadhi ya mashabiki wa Wema ambao wanajiita Team Wema, walimuonya staa wao huyo wakidai ananyonywa na mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye pia amekuwa akimdhalilisha katika majukwaa pindi anapofanya shoo zake.
Walimtaka abadilike kwani yeye ndiye mwenye nyota ya kung’aa lakini Diamond ananufaika yeye peke yake na muziki wake.

DIAMOND ALINENA
Baada ya Diamond kushambuliwa na Team Wema, naye alitoa majibu ambayo yalionesha dhahiri kwamba ndiyo sababu inayomfanya Wema ashuke kisanaa na kiuchumi.

“Kama kweli mnampenda huyo msanii wenu (Wema) basi mngemshauri kwanza akaacha kufanya starehe kuliko kuelekeza lawama kwangu, mimi kama mume, jukumu langu ni kuhakikisha namwezesha kuanzisha biashara lakini jukumu la kuendeleza ni la kwake, mnataka hata kuigiza nikamuigizie?,” alihoji Diamond mtandaoni.

AL-SHABAAB WAMVAMIA ISHA MASHAUZI KENYA......soma hapa kilicho msibu....


Oooh nooo! Mwimbaji na Kiongozi wa Kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani ‘Isha Mashauzi’, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuvamiwa na kundi linalojiita Al-Shaabab (siyo wale orijino wanaosifika kwa ugaidi).


Mwimbaji na Kiongozi wa Kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani ‘Isha Mashauzi’.

Tukio hilo ambalo liliibua sintofahamu kwa wananchi, lilitokea juzikati katika hoteli inayojulikana kwa jina la Grassovila iliyopo Mombasa nchini Kenya ambapo walimuibia msanii huyo kila kitu alichokuwa nacho.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Isha alisema kuwa alikwenda Mombasa kwa ajili ya mwaliko wa mashabiki wa Timu ya Arsenal ya England waishio Mombasa na alipokuwa akijiandaa hotelini, ghafla alishtukia watu waliojificha nyuso wakiingia katika chumba alichokuwepo kisha kumuamuru atoe kila kitu.

“Nilishtuka sana kuona kundi la watu likivamia chumbani kwangu, nasikia walianzia katika vyumba vingine, jamaa walinichukulia kila kitu nilichokuwa nacho hadi hati ya kusafiria lakini namshukuru Mungu Watanzania wenzangu walinisaidia na kuweza kurejea Bongo,” alisema Isha.

Alisema polisi nchini humo wanaendelea kufanya uchunguzi kwa ajili ya kuwatia hatiani ‘wahuni’ hao.
Hadi Isha anafanikiwa kurudi Bongo, hakuna mtu yeyote ambaye alikamatwa kuhusiana na tukio hilo.

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA...soma full story hapa


Kuna watu ambao wamekuwa hodari kujisifu kuwa wao hutoa unyumba kwa ‘kibaba’. Yaani huwapimia wenzi wao. Kwa mitazamo yao, hujiona wapo sahihi. Tabia hii ipo kwa wanawake zaidi, japo kuna wanaume ambao nao ni wagumu kutekeleza mahitaji ya wapenzi wao.Hata hivyo, kuna kitu cha kuweka sawa hapa; Wakati mwanamke anapobana ‘staftahi’ kwa mwenzake, huhesabika ni mchoyo! Kwa mwanaume yeye huonekana ni goigoi. Kwamba mambo hayawezi ndiyo maana hatekelezi shughuli. Ataambiwa ana tatizo la zile nguvu zetu!

Mwanamke anaweza kujisifu hata kwa wenzake. Akiwa kwenye vikao vya kusukana au katika soga nyingine, atajimwagia sifa tele kwamba yeye inaweza kupita miezi bila kuingia uwanjani na mwenzi wake. Hili, linawafanya wanaume wengi wateseke na matokeo yake hutafuta tiba mbadala.


Mwanaume hawezi kujisifu kwa marafiki zake kuwa yeye huwa akisumbuliwa na mwenzi wake, humpa mgongo! Ni wazi akisema hivyo atachekwa. Yaani mwanamke kugomea kutoa unyumba ni ushujaa wakati mwanaume akikataa, atachukuliwa kwamba ana tatizo la kiafya! Dhana hii sikubaliani nayo, kwa hiyo nahitaji kutoa shule!Kwangu mimi, kila aliye mvivu wa kuingia shughulini ana tatizo! Kwa mwanaume na mwanamke, wote wana kasoro ya nguvu, kwa maana hiyo wanahitaji tiba mbadala ili waweze kusherehekea tendo. Wanatakiwa kuboresha mvuto wao katika ndoa au uhusiano na nafasi ya kutekeleza hilo ipo!Ni lazima watu waheshimu uhusiano wao wa kimapenzi. Pia waelewe kwamba moja kati ya vitu vinavyoshikilia penzi lako ni unyumba. Ni wakati muafaka kwako sasa, kuachana na mawazo ya kale. Punguza uvivu na ujue kuwajibika inavyotakiwa, kwa maana ni njia ya kutibu amani yako mwenyewe na mwenzio.

Utafiti unaonesha kwamba asilimia kubwa ya ndoa zinazovurugika kila siku, nyuma yake huwa na shambulio la wanandoa kutopeana huduma ya tendo. Kwamba, wanavumiliana lakini mwisho wa siku, sauti itasikika kwa majirani. Watakapokuwa wanagombezana usiku, siri hugeuka sirini.

Tendo la ndoa, hukamilisha furaha ya wawili walioamua kupendana. Tunapoamua kuacha siasa na kuzingatia ukweli kwa vipimo vyake, watu wengi (hasa wanaume), wanapoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi, lengo lao la kwanza ni kutimiza haja zao kimwili kwa mtu husika. Nazungumza kwa utafiti!
Walikutana barabarani, akavutiwa ndiyo maana akaanza misele. Anapofanikiwa, vikwazo vya baadaye, inakuwa siyo matarajio yake. Alichotarajia ni kwamba baada ya kukubaliana kuingia kwenye sehemu yenu ‘spesho’, atakuwa hapimiwi! Kwa kiwango chochote atakachokuhitaji, mwenzi wake atamridhia.

Aghalabu, wapenzi ambao wanajikuta wapo kwenye mgogoro wa tendo, mara nyingi hukabiliwa na tatizo la usaliti. Ni theluthi moja ya wanawake wanaoweza kumvumilia mwanaume ambaye hamtoshelezi kimwili, wakati kwa wanaume ni moja ya kumi tu ndiyo wenye kuvuta subira hadi siku watakapokumbukwa.

“Huyu mbona yupo hivi, kila siku anasema kachoka, atakuwa ana mtu huko nje,” ni kauli ambayo ni rahisi kupita kichwani kwa mwanamke, pale ambapo anakabiliana na mwenzi ambaye haguswi chochote na tamaa za mwili, ingawa inaelezwa kwamba ni moja ya kumi ya wanawake ndiyo hukosa usingizi kwa kunyimwa tendo.

MWANAUME TATA AMCHAFUA KOPA....asema kopa ni mama yake ...soma zaidi


MAJANGA! Mwanaume anayedaiwa kuwa na swaga zisizoeleweka, anayejulikana kwa jina moja la Talick, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anadaiwa kumchafua Malkia wa Mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa kwa kudai kuwa ni mtoto wa kuzaliwa kabisa na muimbaji huyo

Mwanaume anayejulikana kwa jina moja la Talick, anayedai kuwa ni mtoto Khadija Kopa.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Dully ambaye amekumbana na ushawishi mkubwa kutoka kwa Talick, alisema amekuwa akipata usumbufu mkubwa kutoka jamaa huyo akimuomba urafiki wa karibu akidai hata mama yake (Khadija Kopa) ameshamwambia.

“Dah! Dunia hii! Sijui hata alipata wapi namba yangu na kuanza kunishawishi eti tuwe marafiki kwani hata mama yake, Kopa anajua, nikashindwa kumuelewa ni urafiki gani wa mwanaume kwa mwanaume,” alisema Dully.
Malkia wa mipasho bongo Khadija Omari Kopa akiwa na Talick.

Baada ya kupata taarifa hizo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Kopa ili kuzungumzia namna jina lake linavyotumika ambapo alisema hamfahamu huyo mtu na aache kutumia jina lake.

“Huyo mtoto mi simfahamu, amepiga picha na mimi kama mashabiki wangu wengine lakini huwa siwafahamu wote, aache kabisa ujinga wake mimi ni mtu mwenye heshima zangu,” alisema Khadija Kopa.

Nahitaji Mume sio Mchumba....


1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo aacha number ya Simu ma E-mail yake kwenye comment ntamtafuta kwa muda wangu

10 Signs To Know An Immature Guy [Must Read]


So many reasons have been adduced for why romantic relationships between a guy and a girl don't end up in marriage these days. One of them is Incompatibility!

For this reason, here is a list of tips on how you could get to know if a guy or that guy you are in a relationship with is immature:

1. You’re his first real relationship: He had a girlfriend or two in high school, but has not dated since. If you’re his first girlfriend in the “real world” you’re probably going to have to teach him a few basics. The only thing he has to compare this relationship to are the hormone and puberty induced ones he had when he was seventeen. In his head, when things get rough you’re going to act like his psychotic high school girlfriend, and he’s going to treat you as such. Bottom line: if you’re his first real girlfriend, you’re going to have to teach him a lot, and most of that will be the difference between girls and women.

2. He doesn’t know how to communicate: Communication is key to any relationship. There are going to be confrontations, fights, and near-breakups, but how these are handled are what determines if the couple is going to make it or not. If your boy/man-child isn’t willing to listen to you, or he readily dismisses your feelings, he’s not mature enough to be with you in the long run.

3. He loves his pride more than the relationship: There is a certain amount of give and take in relationships. If your man loves being right more than he loves you, he’s no man at all—he’s just a stubborn boy. Everyone has to swallow their pride at some point, and boys aren’t willing to do this yet.

4. He doesn’t own his flaws: This one is about placing blame, and when something happens in a relationship it’s hardly ever just one person’s fault. If you’re willing to accept what you did wrong, and he isn’t, he essentially thinks he’s always right. Not only is that immature, it’s egotistical.

5. He doesn’t want to be depended on: When poo hits the fan, he’s nowhere to be seen. You might get some sympathy from him, but he puts minimal effort into being the person you can rely on. This is because immature boys retreat when things are too difficult for them. Simply put: men are strong, boys are weak.

6. You’re his girlfriend when it’s convenient for him: You had plans for a nice weekend together? Too bad something else came up and he bailed on you. Sometimes, nothing at all comes up, but he just can’t be bothered and would rather sleep in that day. Men are committed to a relationship and put you before themselves at least some of the time. Boys do whatever they want despite you.

7. He gets lazy: He stopped putting in effort months ago. You no longer get the cute texts you use to screen-shot. You have to fish for compliments because he doesn’t offer them up anymore. And “just-because” phone calls are so few and far-between you begin to doubt their existence all together.

8. He’s a hypocrite: Remember when he got mad at you because you texted him “K” that one time? Now he does it when he’s upset just to spite you. All those things you swore never to do again, and he can’t see the irony in the doing them exactly the same way.

9. He has no ambition: He’s unhappy with his present condition but won’t make any steps to fix it. I don’t think every man needs to know what he wants to be in life, but a lack of motivation in his personal life will definitely transfer over to your relationship.

10. Instead of breaking up with you, he’ll be a jerk until you break up with him: This is something only a spineless boy does. When the relationship reaches its expiration date, instead of being honest about it with you, he’d rather hang in there until you leave him. Thus, he doesn’t have to be the bad guy, and you’re the one stuck doing his dirty work.

There’s a reason girls tend to date older guys: they’re hoping to find someone who has grown out of these tendencies.

MARTINE KADINDA AFUNGUKA JUU YA KUMPENDA WEMA SEPETU SHUKA NAYO HAPA....


Wema akiwa na Meneja wake Martin Kadinda


Ok, hapo juu ndio ujumbe alioandikiwa meneja wa mrembo Wema Sepetu anayeitwa @mrekebishatabia. Maswali mengi yamekuja baada ya Wema kufanya show Mwanza, mpenzi wake alipokuwa akiperform jukwaani, pamoja na hayo mashabiki walio wengi wametaka kuona Wema akijishughulisha kuliko hivyo anavyo

zunguka na hawajui anafanya nini. Wema ana mashabiki wengi sana wanaompenda na kutaka mafanikio yake. Baada ya swali hilo hapa chini ndo jibu alilitoa kaka meneja wa Wema amejielezea vizuri sana.